Andrea, Yohane, Petro na Antoni
Andrea, Yohane, Petro na Antoni (walifariki 890 hivi) walikuwa Wakristo wa mji wa Siracusa (Sicilia, Italia) waliotekwa na Waislamu tarehe 21 Machi 878 na kupelekwa Afrika.
Kwa kuwa walikataa kusilimu, waliuawa kwanza Yohane na watoto wake, miaka ya baadaye Andrea pia.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki kama watakatifu.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 23 Septemba[1].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz