Andrea Avellino
Andrea Avellino (Castronuovo di Sant'Andrea, Potenza, 1521 – Napoli, 10 Novemba 1608), alikuwa padri wa Italia[1] wakati wa Urekebisho wa Kikatoliki akajiunga[2] na aina mpya ya utawa aliyoianzisha Gaetano wa Thiene, maarufu kwa jina la Wateatini, akaieneza zaidi pamoja na kufanya utume[3].
Alitangazwa na Papa Urban VIII kuwa mwenye heri tarehe 14 Oktoba 1624, halafu Papa Klementi XI alimtangaza mtakatifu tarehe 22 Mei 1712.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz