Arsasi wa Nikomedia
Arsasi wa Nikomedia (alifariki Nikomedia, leo Izmit, nchini Uturuki, 24 Agosti 358) alikuwa askari wa Dola la Roma mwenye asili ya Persia.
Baada ya kuungama hadharani imani ya Kikristo wakati wa kaisari Licinius, aliacha jeshi aende kuishi upwekeni karibu na Nikomedia.
Alihimiza wakazi wa mji huo kusali na kufanya toba akitabiri tetemeko la ardhi lililouangamiza pamoja na kumuua mwenyewe[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz