Aureus wa Mainz
Aureus wa Mainz (alifariki 451 hivi) alikuwa askofu wa kwanza kujulikana wa Mainz, leo nchini Ujerumani, katika nusu ya kwanza ya karne ya 5, akitokea Ufaransa ya leo.
Alidhulumiwa kwa kutetea imani sahihi ya Kanisa Katoliki dhidi ya Waario na hatimaye aliuawa na wavamizi Wahunni Wapagani wakati wa kuadhimisha Misa[1].
Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini pamoja na dada yake Yustina na wenzao.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kijerumani) Hans Werner Nopper: Die vorbonifatianischen Mainzer Bischöfe, Books on Demand, Norderstedt 2001.
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz