Brid wa Kildare
(Elekezwa kutoka Brigida wa Kildare)
Brid wa Kildare au Brigid wa Ireland (kwa Kikelti Naomh Bríd; kwa Kilatini Brigida; Faughart, Dundalk, 453 hivi - Kildare, 524 hivi[1][2][3]) ni mmojawapo kati ya watakatifu wasimamizi wa Ireland (pamoja na Patrick na Kolumba).[4]
Anatajwa kama mmonaki, abesi, na mwanzilishi wa monasteri kadhaa za kike, ikiwemo ile maarufu ya Kildare, ambayo ni kati ya zile za kale zaidi huko Ireland.
Pia mchango wake katika kuendeleza uinjilishaji wa kisiwa hicho uliofanywa na Patrick wa Ireland unaheshimiwa sana hadi leo.
Anahesabiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Februari[5], pamoja na ya Dar Lugdach, mwanafunzi wake aliyerithi mamlaka yake.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz