1903
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1870 |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900| Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| ►
◄◄ |◄ |1899 |1900 |1901 |1902 |1903| 1904| 1905| 1906| 1907| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1903 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 4 Agosti - Uchaguzi wa Papa Pius X
- 3 Novemba - Nchi ya Panama inapata uhuru kutoka Kolombia.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 11 Januari – Alan Paton, mwandishi wa Afrika Kusini
- 27 Januari - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 26 Februari - Giulio Natta, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963
- 24 Machi - Adolf Butenandt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939
- 8 Juni - Marguerite Yourcenar, mwandishi na mshairi kutoka Ubelgiji
- 6 Julai - Hugo Theorell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955
- 1 Agosti – Paul Horgan, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1955
- 19 Agosti – James Gould Cozzens, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1949
- 26 Agosti - Caroline Pafford Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Oktoba - Ernest Walton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951
- 22 Oktoba - George Beadle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958
- 7 Novemba - Konrad Lorenz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973
- 27 Novemba - Lars Onsager, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1968
- 5 Desemba - Cecil Frank Powell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1950
- 10 Desemba - William Plomer, mwandishi wa Afrika Kusini
- 19 Desemba - George Snell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 22 Desemba - Haldan Hartline, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
Waliofariki
- 22 Februari - Hugo Wolf, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 20 Julai - Papa Leo XIII
- 1 Novemba - Theodor Mommsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1902
- 11 Aprili - Mtakatifu Gemma Galgani, bikira nchini Italia
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz