Chuo Kikuu cha Chicago
Chuo Kikuu cha Chicago ni chuo kikuu cha binafsi huko Chicago, Illinois. Kilianzishwa mwaka 1856.
Chuo Kikuu cha Chicago | |
---|---|
Latin: Universitas Chicaginiensis | |
Wito kwa Kiswahili | "Acha maarifa yakue kutoka zaidi hadi zaidi; na hivyo kutajirika maisha ya mwanadamu"[1] |
Kimeanzishwa | 1856[1][2] |
Aina | Chuo cha binafsi |
Rais | A. Paul Alivisatos |
Provost | Ka Yee Christina Lee |
Walimu | 2,859[3] |
Wanafunzi | 18,452[1] |
Wanafunzi wa shahada ya kwanza | 7,559[1] |
Wanafunzi wa uzamili | 10,893[1] |
Mahali | Chicago, Illinois, Marekani |
Tovuti | uchicago.edu |
Tanbihi
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Chicago kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz