Danakte

Danakte (au Dana, Dano tu; aliishi karne ya 9) alikuwa shemasi kutoka Valona (Albania) ambaye alitoa huduma katika wilaya ya Lecce, Italia kusini, akauawa na Waislamu waliovamia eneo hilo[1].

Sanamu yake katika kanisa la San Dana, Italia.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.