Donini wa Vienne
Donini wa Vienne (pia: Domninus, Domnin, Domnus, Donnin; alifariki 538 hivi) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 533 akijulikana kwa huruma yake kwa wafungwa na fukara[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Nominis: Saint Domnus de Vienne (Kifaransa)
- Katolsk.no: Domninus av Vienne style="background:#F99;vertical-align:middle;text-align:center;" class="table-no"|Hapana
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz