Eladi wa Toledo
Eladi wa Toledo (alifariki Toledo, Hispania, 633) alikuwa mwekahazina wa ikulu na wa ufalme ambaye akawa mmonaki wa Kigothi na hatimaye alihudumia kama askofu mkuu wa Toledo miaka 18 ya mwisho ya maisha yake akimuachia nafasi mwanafunzi wake Ildefonso wa Toledo aliyeandika baadaye habari za maisha yake akisisitiza huruma yake kwa maskini[1] [2].
Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 18 Februari[3].[4]
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Alban Butler, Il primo grande dizionario dei santi secondo il calendario Casale Monferrato, Edizioni PIEMME, 2001 ISBN|88-384-6913-X
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz