Elizabeti wa Ureno
Elizabeti wa Ureno (anayejulikana pia kama Isabela Perez au Isabela wa Aragona; Saragoza, Hispania, 4 Januari 1271 - Estremoz, Ureno, 4 Julai 1336) alikuwa malkia wa nchi hiyo (1282-1325) kabla hajaanzisha jumuia ya kimonaki ya Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko karibu na monasteri ya Waklara.
Aling'aa kwa juhudi za kuleta upatanisho kati ya wafalme na kusaidia maskini akafariki wakati wa kushughulikia amani kati ya mwanae na mkwe wake[1]
Alitangazwa na Papa Urban VIII kuwa mtakatifu tarehe 25 Mei 1625.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- "Saint Elizabeth, Queen of Portugal", Butler's Lives of the Saints
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz