Emanueli Gonzalez Garcia
Emanueli González García (Sevilia, 25 Februari 1877 – Palencia, 4 Januari 1940) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki, jimbo la Palencia nchini Hispania tangu mwaka 1935 hadi kifo chake.
Alijulikana kwa ibada kubwa aliyokuwanayo kwa Yesu Ekaristi ambayo alijitahidi kuieneza kotekote. Kwa ajili hiyo alianzisha shirika la Wamisionari wa Ekaristi wa Nazareti, pamoja na yale ya Wanafunzi wa Mt. Yohane na Watoto wa Malipizi.[1]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 29 Aprili 2001. Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 16 Oktoba 2016.[2][3]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Hagiography Circle
- Saints SQPN
- Catholic Hierarchy
- Blessed Manuel Gonzalez Garcia
- Manuel 16 Archived 10 Agosti 2018 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz