Emebati
Emebati (pia: Ablebati, Ablebertus, Emebertus; alizaliwa katika eneo la Brabant - akafariki Ham, leo nchini Uholanzi, nusu ya kwanza ya karne ya 7) alikuwa askofu wa tano au wa sita wa Cambrai na Arras, leo nchini Ufaransa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kilatini) De S. Ableberto sive Emeberto, ecpiscopo Cameracensi et Atrebatensi, in Acta Sanctorum Ianuarii, vol. II, Parigi, pp. 359-362
- (Kifaransa) Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. III, Paris 1915, pp. 106-110
- René Wasselynck, Ableberto (Emeberto), vescovo di Cambrai, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. I, col. 85
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz