Emiliani wa Silistra
Emiliani wa Silistra (alifariki Silistra, Mesia, leo nchini Bulgaria, 18 Julai 362) alikuwa kijana wa Durostoro aliyeuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo katika dhuluma ya Juliani Mwasi. Akikataa kutii amri ya kaisari huyo, na vitisho vya mwakilishi wake Catulinus, alipindua altare ya miungu ili kuzuia isitolewe sadaka. Ndipo alipotupwa katika tanuru akafa kwa kuungua moto [1].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz