18 Julai

tarehe
Jun - Julai - Ago
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031
Kalenda ya Gregori

Tarehe 18 Julai ni siku ya 199 ya mwaka (ya 200 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 166.

Matukio

Waliozaliwa

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Sinforosa na wenzake, Materno wa Milano, Emiliani wa Silistra, Filastri, Rufilo, Arnulfo wa Metz, Theodosia wa Kostantinopoli, Federiko wa Utrecht, Bruno wa Segni, Simoni wa Lipnica, Dominiko Dinh Dat n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 18 Julai kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.