Eustolia na Sopatra
Eustolia na Sopatra (walifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, karne ya 6) walikuwa mabikira Wakristo walioanzisha monasteri katika jiji hilo[1].
Eustolia alitokea Roma, Italia. Alipokwenda Konstantinopoli kutembelea makanisa alifahamiana na Sopatra, binti kaisari Maurisi, ambaye alimuomba awe mama yake ya kiroho na baada ya kifo chake alishika uongozi wa monasteri.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz