Febronia wa Akhmim

Febronia wa Akhmim (alifariki 9 Oktoba 749) alikuwa bikira wa Syria aliyehamia Misri ili kuwa mmonaki.

Baada ya kuwa abesi wa monasteri yake[1][2], kwa kukubali kukatwa kichwa aliokoa wenzake kutoka hatari ya kubakwa na kuuawa na Waislamu[1][3].

Kanisa la Kikopti linamheshimu kama mtakatifu bikira mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake.

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.