Fidensyani, Valeriana, Viktorya na wenzao
Fidensyani, Valeriana, Viktorya na wenzao kumi na saba ni wafiadini wa Hippo waliosifiwa na Augustino wa Hippo.
Fidensiani alikuwa askofu.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 15 Novemba[1][2].
Inawezekana watakatifu Fidensyani, Sekundo, Variko na wenzao wanaoheshimiwa siku hiyohiyo[3] na watakatifu Bariko, Donati, Honorati, Januari, Marko, Paulo, Rufino, Valeri, Vikta, Vitalis na Yusto wanaoadhimishwa kesho yake[4], si wa kundi lingine.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz