Filipo Howard
Filipo Howard (28 Juni 1557 – 19 Oktoba 1595) alikuwa mtu wa ukoo maarufu nchini Uingereza na binamu wa Malkia Elizabeti I.
Baada ya kuishi kwa anasa katika ikulu, alipata uongofu wa kimaadili aliposikiliza hoja za mapadri Wakatoliki (1581) na hatimaye aliacha madhehebu ya Anglikana ajiunge na Kanisa Katoliki, ingawa kwa siri, kutokana na dhuluma ya serikali.
Hatimaye alikamatwa na kufungwa hadi kifo chake miaka 10 baadaye[1].
Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Desemba 1929, halafu Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Sigrid Undset, Stages on the Road, copyright 1934.
- History Orb
- .
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz