Fransisko Spinelli

Francesco Spinelli (Milano, 14 Aprili 1853 – Rivolta d'Adda, 6 Februari 1913[1]) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Italia Kaskazini.

Sanamu yake huko, Caravaggio, Italia.

Alianzisha na kuongoza kati ya matatizo mengine shirika la kitawa la Masista Waabuduo Sakramenti Takatifu Sana (1882) ambalo baadaye liligawanyika (1892), akivumilia yote kwa ajili ya Mungu[2].

Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II 21 Juni 1992, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 14 Oktoba 2018.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Maandishi yake

  • ... Così il padre fondatore alle sue figlie, Rivolta d'Adda 1981.
  • Servo di Dio don Francesco Spinelli, fondatore Suore adoratrici SS. Sacramento : dai suoi scritti, Industria grafica editoriale Pizzorni, Cremona 1976 Cremona.
  • Lettere alle suore, Suore Adoratrici del SS. Sacramento, Cremona 1989.
  • Conversazioni Eucaristiche, a cura di E. Bolis e P. Rizzi, Nuova Editrice Cremonese, Cremona 2017.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.