Fransisko Spinelli
Francesco Spinelli (Milano, 14 Aprili 1853 – Rivolta d'Adda, 6 Februari 1913[1]) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Italia Kaskazini.
Alianzisha na kuongoza kati ya matatizo mengine shirika la kitawa la Masista Waabuduo Sakramenti Takatifu Sana (1882) ambalo baadaye liligawanyika (1892), akivumilia yote kwa ajili ya Mungu[2].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II 21 Juni 1992, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 14 Oktoba 2018.
Maandishi yake
- ... Così il padre fondatore alle sue figlie, Rivolta d'Adda 1981.
- Servo di Dio don Francesco Spinelli, fondatore Suore adoratrici SS. Sacramento : dai suoi scritti, Industria grafica editoriale Pizzorni, Cremona 1976 Cremona.
- Lettere alle suore, Suore Adoratrici del SS. Sacramento, Cremona 1989.
- Conversazioni Eucaristiche, a cura di E. Bolis e P. Rizzi, Nuova Editrice Cremonese, Cremona 2017.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz