Garissa
Garissa ni mji nchini Kenya ulio makao makuu ya kaunti ya Garissa. Unaunda kata ya eneo bunge la Garissa Mjini[1].
Garissa | |
Mahali pa mji wa Garissa katika Kenya | |
Majiranukta: 0°27′25″S 39°39′30″E / 0.45694°S 39.65833°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Garissa |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 119,696 |
Wakazi walikuwa 119,696 wakati wa sensa ya mwaka 2009[2].
Mto Tana hupitia eneo la manispaa.
Wakazi walio wengi ni raia wa Kenya walio Wasomali kwa lugha na utamaduni pamoja na raia wa Somalia waliohamia hapa kutokana na hali ya vita nchini mwao. Kundi kubwa la wenyeji ni wa ukoo wa Waogaden.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- (Kiingereza) Garissa.org Archived 5 Machi 2016 at the Wayback Machine.
- GovtKenya-Population-PDF Archived 1 Machi 2020 at the Wayback Machine.
- Registration centres by electoral area and constituency Archived 28 Juni 2007 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz