Genoveva Torres Morales
Genoveva Torres Morales (Almenara, 3 Januari 1870 - Zaragoza, 5 Januari 1956) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki nchini Hispania ambaye, baada ya kupitia majaribu na maradhi mengi tangu utotoni, alianzisha shirika lake lijulikanalo kama Mabinti wa Moyo Mtakatifu wa Yesu na Malaika watakatifu. Alitaka shirika hilo jipya lizingatie utunzaji wa wanawake wote[1]. Wakati wa maisha yake na baada ya kifo chake, alitajwa kama "Malaika wa Upweke". [2]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri mnamo 1995 na mtakatifu mnamo 2003. [3]
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz