Gwido wa Pomposa
Gwido wa Pomposa, O.S.B. (Ravenna, Romagna, 970 - Fidenza, Emilia, 31 Machi 1046) alikuwa mkaapweke, halafu abati wa Kibenedikto nchini Italia aliyekusanya wafuasi wengi na kujitahidi kujenga upya patakatifu mbalimbali, alijitosa kusali na kuadhimisha liturujia, akielekeza mawazo yake mbinguni tu.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- P. Laghi, San Guido, abbate di Pomposa, in "Analecta Pomposiana", III (1967), pp. 7-107
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz