Honorina wa Rouen
Honorina wa Rouen (kwa Kifaransa: Honorine; alifariki Ufaransa Kaskazini, 303 hivi) alikuwa mwanamke Mkristo aliyeuawa katika dhuluma wa kaisari Dioklesyano dhidi ya Wakristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira na mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Februari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- (Kifaransa) Honorine de Graville at the French Wikipedia
- Patron Saints: Honorina
- Carholic Online entry on Saint Honorina (copied from Wikipedia)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz