Isidori mkulima
(Elekezwa kutoka Isidoro Mkulima)
Isidori mkulima (kwa Kihispania San Isidro Labrador, Madrid, Castilia, 1070 hivi – Madrid, 15 Mei 1130[1]) alikuwa mkulima wa Hispania maarufu kwa upendo wake kwa maskini na wanyama.
Pamoja na mke wake, mwenye heri Maria wa Cabeza, aliwajibika katika kazi ngumu za shambani, akivuna kwa uvumilivu wake tuzo ya mbinguni kuliko mazao ya ardhi akawa kielelezo cha mkulima Mkristo.
Papa Paulo V alimtangaza mwenye heri tarehe 2 Mei 1619, halafu Papa Gregori XV alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Machi 1622.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- St Isidore the Farmer Archived 13 Septemba 2006 at the Wayback Machine.
- Visitors guide to the Fiestas San Isidro in Madrid
- Yucatan, Mexico celebrates San Isidro Labrador in multiple town fiestas Archived 26 Mei 2010 at the Wayback Machine.
- Lucban San Isidro Pahiyas Festival website Archived 18 Machi 2009 at the Wayback Machine.
- The Life of San Isidro, Labrador
- Saint Isidore the Laborer at the Christian Iconography web site
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz