15 Mei

tarehe
Apr - Mei - Jun
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031
Kalenda ya Gregori

Tarehe 15 Mei ni siku ya 135 ya mwaka (ya 136 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 230.

Matukio

Waliozaliwa

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Petro, Andrea na wenzao, Kasyo na Viktorini, Simplisi wa Sardinia, Akilei wa Larissa, Retisi, Kalebu wa Aksum, Severino wa Settempeda, Rupati wa Bingen, Vitesindi, Isidori mkulima n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 15 Mei kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.