Jeradi Edwards
Jeradi Edwards (pia alijiita: Edward Campion; Ludlow, Shropshire, 1552 – Canterbury, 1 Oktoba 1588) alikuwa padri kutoka Uingereza.
Baada ya kupewa upadrisho huko Ufaransa (1587), alirudi nchini ili kufanya utume kwa siri ila alikamatwa na hatimaye alinyongwa pamoja na mapadri Robati Wilcox na Kristofa Buxton na mlei Robati Widmerpool katika dhuluma ya malkia Elisabeti I[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI mwaka 1929 na mtakatifu na Papa Paulo VI mwaka 1976.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki tarehe 1 Oktoba[2].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz