Jermana Cousin

Jermana Cousin (kwa Kifaransa: Germaine; Pibrac, Toulouse, Ufaransa wa leo, 1579 - Pibrac, 3 Januari 1601) alikuwa bikira asiye na wazazi wa kujulikana, fukara tena mgonjwa[1] aliyevumilia kwa imani ya kishujaa na hata furaha mateso yote yaliyompata [2].

Mt. Jermana alivyochorwa na Jean-Auguste-Dominique Ingres mwaka 1856.

Papa Pius IX aimtangaza mwenye heri tarehe 29 Mei 1854 halafu mtakatifu tarehe 29 Juni 1867.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.