Jermeri

Jermeri (kwa Kifaransa: Germier; aliishi karne ya 6 au karne ya 7) alikuwa kwa miaka minne askofu wa Toulouse nchini Ufaransa ambaye alijitahidi kutembelea waumini wake na kuinjilisha bonde la mto Garonne[1].

Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Mei[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.