Jordyn Huitema
Jordyn Pamela Huitema (amezaliwa Mei 8, 2001[1]) ni Mkanada mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa anayecheza kama mshambuliaji katika klabu ya Paris Saint-Germain F.C. (PSG) iliyoko daraja la kwanza kwa wanawake na pia timu ya taifa ya Kanada
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9b/Jordyn_Huitema_Canada_vs_New_Zealand_women%27s_soccer_20211023_KP020186_%2851667221517%29_%28cropped%29.jpg/220px-Jordyn_Huitema_Canada_vs_New_Zealand_women%27s_soccer_20211023_KP020186_%2851667221517%29_%28cropped%29.jpg)
Alifunga goli lake la kwanza la kitaifa akiwa mwenye umri wa miaka 16, kumfanya kuwa mchezaji bora kwenye michuano ya wanawake ya ligi ya UEFA kabla ya kufikisha 20 alikuwa ametajwa kama mrithi wa lejendi wa kikanada Christine Sinclair.[2][3][4]
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia