Julia Salzano
Julia Salzano (Santa Maria Capua Vetere, Caserta, 13 Oktoba 1846 – Casoria, Napoli, 17 Mei 1929) alikuwa sista wa Kanisa Katoliki nchini Italia na mwanzilishi wa shirika la Masista wa Katekesi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu (21 Novemba 1905) kwa ajili ya kufundisha imani na maadili ya Kikristo na kueneza ibada kwa ekaristi takatifu[1].
Kabla ya kuwa mtawa, Julia Salzano alikuwa mwalimu na kuanzia mwaka 1865 alifanya kazi Casoria alipojitokeza kama katekista bora pia.[2][3]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 27 Aprili 2003, halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 17 Oktoba 2010.
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz