1905
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1870 |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900| Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| ►
◄◄ |◄ |1901 |1902 |1903 |1904 |1905| 1906| 1907| 1908| 1909| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1905 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Februari - Emilio Segre, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959
- 7 Februari - Ulf von Euler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 14 Machi - Raymond Aaron, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 21 Machi - Phyllis McGinley, mshairi kutoka Marekani
- 18 Aprili - George Hitchings, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988
- 24 Aprili – Robert Penn Warren, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1958
- 16 Mei - Henry Fonda, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 17 Mei - John Patrick, mwandishi kutoka Marekani
- 24 Mei - Mikhail Sholokhov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1965
- 21 Juni - Jean-Paul Sartre, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1964
- 25 Julai - Elias Canetti, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1981
- 29 Julai - Stanley Kunitz, mshairi kutoka Marekani
- 24 Agosti - Sven Stolpe, mwandishi kutoka Uswidi
- 3 Septemba - Carl David Anderson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1936
- 24 Septemba - Severo Ochoa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1959
- 30 Septemba - Nevill Mott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977
- 23 Oktoba - Felix Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
bila tarehe
- Sheikh Abeid Amani Karume, Rais wa kwanza wa Zanzibar
Waliofariki
- 14 Juni - Tippu Tip, mfanyabiashara Mtanzania mashuhuri)
- 14 Septemba - Pierre Brazza
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz