Kaizari Matthias
Matthias (24 Februari 1557 – 20 Machi 1619) alikuwa Kaizari wa Dola la Ujerumani kuanzia 1612 hadi kifo chake. Alimfuata kaka yake, Rudolf II, na kufuatiwa na Ferdinand II.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/62/Matthias%2C_keizer_van_het_Heilige_Roomse_Rijk_%281557-1619%29._Rijksmuseum_SK-A-1412.jpeg/280px-Matthias%2C_keizer_van_het_Heilige_Roomse_Rijk_%281557-1619%29._Rijksmuseum_SK-A-1412.jpeg)
![]() | Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Ujerumani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kaizari Matthias kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia