Kartaki wa Lismore
Kartaki wa Lismore (pia: Mo Chutu, Mochuda, Kartaki Kijana; Fingen, Ireland, 555 hivi - Lismore, Ireland, 14 Mei 639[1]) alikuwa padri aliyekwenda kuishi upwekeni miaka 14, halafu akajiunga na monasteri ya Bangor kabla ya kuanzisha ya kwake huko Rathin akiipatia kanuni mpya kwa lugha ya Kieire.
Mwaka 635 yeye na wanafunzi wake walifukuzwa huko na hatimaye akawa askofu wa kwanza wa Lismore[2] baada ya kuanzisha huko monasteri nyingine iliyovuta vilevile wafuasi wengi[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi[4] na Waanglikana kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Johnston, Elva. "Munster, saints of (act. c. 450 – c. 700)." Oxford Dictionary of National Biography. Oxford University Press, September 2004, online edition May 2008; retrieved 14 December 2008.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Works by Saint Mochuda katika Project Gutenberg
- Lives of SS Declan and Mochuda, Gutenberg.org
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz