Kasiani wa Imola
Kasiani wa Imola (alifariki Forum Cornelii, leo Imola, Italia, karne ya 4) alikuwa mwalimu huko Imola, leo katika mkoa wa Emilia-Romagna huko Italia kaskazini) aliyekuwa akifundisha pia imani ya Kikristo.
Aliposhtakiwa alikataa kukana imani hiyo ili kuabudu miungu, akaadhibiwa kwa kumfanya auawe na wanafunzi wake kwa kalamu zao [1][2]; hivyo, kadiri mkono ulivyokuwa dhaifu, mateso yalikuwa makali zaidi.
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz