Kasilda
Kasilda (Toledo, Hispania, 950 - Briviesca, Hispania, 1050[1]) alikuwa bikira Mwislamu, binti Yahya ibn Ismail al-Mamun, mfalme wa Toledo.
Baada ya kuzoea kuwasaidia kwa huruma Wakristo waliofungwa gerezani[2] , alibatizwa huko Burgos akaishi kama mkaapweke hadi mwisho wa maisha yake marefu[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Concha Espina, Casilda de Toledo (Madrid: Biblioteca nueva, 1940)
Viungo vya nje
- Zurbaran: Santa Casilda Archived 31 Januari 2018 at the Wayback Machine.
- (Kihispania) Santa Casilda
- St. Casilda of Toledo at the Christian Iconography web site
- St. Casilda of Toledo
- SANTA CASILDA DE TOLEDO
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz