Kasyo na Viktorini
Kasyo na Viktorini (walifariki Alvernia, leo Clermont-Ferrand, nchini Ufaransa, 264 hivi) walikuwa Wakristo ambao waliuawa pamoja na wengine wengi [1] chini ya mfalme Kroko wa Waalemani waliovamia Dola la Roma.
Kabla ya kuongolewa na askofu Austremoni[2], Kasyo alikuwa seneta[3], Viktorini kuhani wa Kipagani[4].
Tangu zamani wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- (Kiholanzi) Cassius e.v.a. van Clermont
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz