Kiili-Turki
Kiili-Turki ni lugha ya Kiturki nchini Uchina na Kazakhstan inayozungumzwa na Wauzbeki. Mwaka wa 1980 idadi ya wasemaji wa Kiili-Turki nchini Uchina imehesabiwa kuwa watu 120 tu. Pia kuna wasemaji 120 nchini Kazakhstan (2001). Wasemaji wote ni wazee lakini, yaani lugha imekaribia kutoweka kabisa hivi karibuni. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiili-Turki iko katika kundi la Kiturki ya Mashariki.
Viungo vya nje
- lugha ya Kiili-Turki kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kiili-Turki Archived 8 Februari 2017 at the Wayback Machine.
- lugha ya Kiili-Turki katika Glottolog
- lugha ya Kiili-Turki kwenye Ethnologue
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiili-Turki kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia