Klorofili
Klorofili (pia chanikiwiti) ni kemikali ambayo hunyonya mwanga wa jua la alfajiri, mchana na jioni.
Inapatikana kwenye wigo la mimea na mwani na kuvipatia rangi ya kijani.
Husaidia kutengeneza chakula cha mimea na husaidia utengenezaji wa nguvu kwenye mimea.
Tazama pia
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Klorofili kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz