Koloman wa Stockerau
Koloman wa Stockerau (pia: Colmán, Kálmán, Colman au Colomannus; Ireland karne ya 10 – Stockerau, karibu na Vienna, Austria, 18 Oktoba 1012) alikuwa Mkristo ambaye, akielekea Nchi Takatifu kwa hija, aliteswa na kuuawa akidhaniwa ni mpelelezi[1].
Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
"Coleman", by Aidan Breen, Dictionary of Irish Biography, page 696, volume two, 2009.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saints at a Glance
- Saint of the Day, October 13: Coloman of Stockerau Archived 19 Februari 2017 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- Saint Coloman's Day
- Catholic Online: St. Coloman
- Saint Coloman of Stockerau at Saints.SQPN.com
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino