Kosovare Asllani
mchezaji mpira wa Uswidi
Kosovare Asllani (alizaliwa 29 Julai 1989) ni mtaalamu wa mchezo wa mpira wa miguu kutoka Uswidi ambae anachezea ligi ya Hispania daraja la Primera katika klabu ya Real Madrid [1] na timu ya taifa ya wanawake ya Uswidi. Jina la utani akiitwa "Kosse" na pia huitwa "The Queen" na washabiki wa timu ya Real Madrid, Asllani ni mshambuliaji mahiri, aliye na kasi sana na mbinu katika mchezo wake. Uwezo wake katika mpira umemfanya alinganishwe na mchezaji hodari sana aitwaye Zlatan Ibrahimović, ambae yeye ndie nahodha wa timu ya taifa ya wanaume Uswidi.[2][3]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a3/Kosovare_Asllani_%2816616334689%29.jpg/220px-Kosovare_Asllani_%2816616334689%29.jpg)
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia