Kostanso wa Perugia
Kostanso wa Perugia (alifariki Foligno, Umbria, Italia, karne ya 3 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo akajitahidi kuinjilisha na kusaidia maskini.
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[1].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- The Book of Saints: A dictionary of persons canonized or beatified by the Catholic Church. Benedictine Monks of St. Augustine Abbey, Ramsgate. NY: Thomas Y. Crowell, 1966.
- "A Reconstruction of Taddeo di Bartolo's Altarpiece for San Francesco al Prato, Perugia," by Gail E. Solberg. The Burlington Magazine, Vol. 134, No. 1075 (October 1992)p. 646–656.
Viungo vya nje
- Constantius at Patron Saints Index
- 29 January saints at Saint Patrick's Church Archived 21 Desemba 2016 at the Wayback Machine.
- Umbria Best Gastronomy
- San Costanzo di Perugia
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz