Kunegunda wa Luxemburg
Kunegunda wa Luxembourg, OSB (975 hivi – Kaufungen, 3 Machi 1040[1]) alikuwa mke wa kaisari wa Dola Takatifu la Kiroma (Ujerumani) Henri II[2][3].
Inasemekana waliishi bila kufanya tendo la ndoa[4][5] na waligawa mali nyingi kwa watu fukara na kufadhili Kanisa kwa namna mbalimbali.
Mwaka mmoja baada ya kufiwa mume wake, aliingia monasterini na kumfanya Kristo kuwa urithi wake kama alivyotamani tangu ujanani.
Alipofariki yeye pia, alizikwa kwa heshima zote karibu na mumewe.
Tarehe 29 Machi 1200 alitangazwa na Papa Innocent III kuwa mtakatifu, kama mumewe.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz