Lazaro wa Konstantinopoli
Lazaro wa Konstantinopoli (pia: Mchoraji; 17 Novemba 810 - 865) alikuwa mmonaki kutoka Armenia huko Konstantinopoli, leo nchini Uturuki.
Alipata umaarufu kama mchoraji wa picha takatifu. Kaisari Theofilo (829-843) alipoanza kuzikataza tena, Lazaro aliteswa kikatili na kunusurika kufia dini[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Novemba[4].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kifaransa) Histoire de l'Arménie: des origines à 1071, Paris, 1947.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz