Mayolo wa Cluny
Mayolo wa Cluny (pia: Majolus, Maieul, Mayeul, Mayeule; Avignon, leo nchini Ufaransa, 906 hivi - Souvigny, 11 Mei 994[1]) alikuwa abati wa nne wa monasteri ya Kibenedikto ya Cluny.
Akiwa imara katika imani na tumaini, na mwingi wa upendo, alisafiri sana kuhamasisha urekebisho wa monasteri nyingine nyingi katika nchi mbalimbali akiziweka chini ya ile ya Cluny[2][3][4].
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maandishi yake
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saints of May 11 Archived 22 Machi 2015 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz