Mita ya mraba
Mita ya mraba (m²) ni kipimo cha eneo kinachotumika zaidi kimataifa; eneo lenye upana na urefu wa mita moja
Msingi wake ni kipimo cha urefu cha mita (m).
1 m² ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa mita moja kila upande
- 0.000 001 kilomita za mraba (km²)
- 10,000 sentimita za mraba (cm²)
- 0.000 1 hektari (ha)
- 0.000 247 105 381 ekari
- 10.763 911 futi za mraba
- 1,550.003 1 inchi za mraba
Vilevile ni
- 1 m² = 1,000,000 mm² (millimita ya mraba)
- 1 m² = 10,000 cm² (sentimita ya mraba)
- 1 m² = 100 dm² (desimita ya mraba)
- 100 m² = 1 a (Ar)
- 10,000 m² = 1 ha (hektari)
- 1,000,000 m² = 1 km² (kilomita ya mraba)
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz