Narsisa wa Yesu
Narsisa wa Yesu (jina kamili la Kihispania: Narcisa de Jesús Martillo Morán; Nobol, Guayas, Ekwador, 29 Oktoba 1832 - Lima, Peru, 8 Desemba 1869, alikuwa bikira aliyejitosa katika maisha ya kiroho na utume vilevile[1][2][3].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 25 Oktoba 1992 na Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Oktoba 2008. Ni mtu wa pili kutoka Ekwador kutangazwa mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz