Nazari na Chelsi

Nazari na Chelsi (walifariki labda Milano, Italia, 304 hivi) walikuwa Wakristo waliofia imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma.

Nazari na Chelsi (waliosimama), mchoro wa Tiziano.

Ambrosi aligundua masalia yao mwaka 395[1], lakini habari nyingi juu yao hazina msingi katika historia[2][3].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na wengineo kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 28 Julai[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.