Nikodemo wa Cirò
Nikodemo wa Cirò (pia: wa Mammola; Cirò, mkoa wa Calabria, Italia, 900 hivi – Gerace, Calabria, 25 Machi 990) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Mashariki maarufu wa maadili na ugumu wa maisha, halafu mkaapweke na mlezi wa wamonaki kusini mwa Italia[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- David Paul Hester. Monasticism and Spirituality of the Italo-Greeks. Volume 55 of Analekta Vlatadōn. Patriarachal Institute for Patristic Studies [Patriarchikon Hidryma Paterikon Meleton], 1992.
Viungo vya nje
- Media related to Category:San Nicodemo da Cirò (Mammola (RC)) at Wikimedia Commons
- Santi e Beati (Kiitalia)
- Page on the Sanctuary from the official site of the Comune di Mammola(Kiitalia)
- Page on the Sanctuary from the official site of the Pro Loco di Mammola(Kiitalia)
- Vita di san Nicodemo l’Umile, digilander.libero.it/ortodossia (Kiitalia)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz