Nikolai Velimirovic

Nikolai Velimirovich (kwa Kiserbokroatia: Николај Велимировић; 4 Januari 188118 Machi 1956) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa majimbo wa Ohrid na Žiča (1920-1956), mwanateolojia na mhubiri maarufu wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia.[1]

Picha yake halisi.

Wakati wa vita vikuu vya pili alitekwa na Wajerumani na kupelekwa katika kambi la Dachau.

Baada ya kufunguliwa hakurudi Yugoslavia bali alihamia Marekani mwaka 1946 hadi kifo chake.

Alitangazwa na Kanisa lake kuwa mtakatifu tarehe 24 Mei 2003.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Machi[2][3][4].

Baadhi ya maandishi yake

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.